Siha Njema

Mimba za utotoni zaendelea kuongezeka ukanda wa Afrika Mashariki

Informações:

Synopsis

Idadi kubwa ya wasichana wanaopata mimbo za utotoni wapo katika nchi za Afrika kwa mujibu wa shirika la afya duniani pia UNFPA Sababu zinazochangia mimba za utotoni ni pamoja na umaskini ,dhulma za kimapenzi ,ngono biashara na tamaduni hasi