Habari Rfi-ki
Tanzania : Chakera kuwa mpatanishi
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:53
- More information
Informações:
Synopsis
Aliyekuwa rais wa Malawi , Lazarus Chakwera kuteuliwa na Jumuiya ya madola kuwa mpatanishi wa mzozo wa kisiasa nchini Tanzania, hasa baada machafuko ya kipindi cha uchaguzi. Tunakuuliza , unafikiri rais Chakwera atafanikiwa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini Tanzania.