Jua Haki Zako
Kenya: Hatua za kutafuta haki kwa dhulma za kinadada mtaani Mathare
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 0:09:43
- More information
Informações:
Synopsis
Kwa miaka mingi Beatrice Karole amekuwa akijitolea kuhamasisha jamii kuhusiana na hatua za kuchukua wakati wanapokabiliana na unyanyasaji wa jinsia. Akiwa na shirika la kinamama la Wanawake Mashinani Initiative katika eneo la Mathare Jijini Nairobi, amefanikiwa kuwaokoa jumla ya wanawake na watoto 30 katika mwaka 2025 ambao anajivunia kuwa licha ya kunyanyaswa, walipata haki yao.