Sbs Swahili - Sbs Swahili

Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi

Informações:

Synopsis

Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.