Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 24 Oktoba 2023

Informações:

Synopsis

Wa Australia ambao wamekwama mjini Gaza, wamesema wameshauriwa mara kwa mara waende katika kivukio cha mpaka wa Rafah na Misri, hata hivyo walipofika huko walipata mpaka huo umefungwa.