Sbs Swahili - Sbs Swahili

Taarifa ya Habari 3 Novemba 2023

Informações:

Synopsis

Waziri Mkuu Anthony Albanese anajiandaa kusafiri kesho Jumamosi 4 Novemba, kuanza ziara ya siku nne nchini China, katika ziara ya kwanza yakidiplomasia ya kiongozi wa Australia katika taifa hilo la Asia tangu 2016.