Sbs Swahili - Sbs Swahili
- Author: Vários
- Narrator: Vários
- Publisher: Podcast
- Duration: 114:58:20
- More information
Informações:
Synopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodes
-
Taarifa ya Habari 23 Aprili 2023
23/04/2023 Duration: 15minWaziri wa Fedha Katy Gallagher amesema swala la nyumba za bei nafuu kwa wanawake katika umri wa miaka 55 na juu, litashughulikiwa katika bajeti ya shirikisho ijayo
-
Wanajeshi wazamani wa Papua New Guinea, ambao jamaa wao wanataka wakumbwe katika siku ya ANZAC
23/04/2023 Duration: 07minHuduma yawanajeshi wa Australia nchini Papua New Guinea, kama kampeni ya Kokoda Trail, inajulikana vizuri.
-
Ezra "Australia imetupa fursa zakutumia talanta zetu"
20/04/2023 Duration: 09minWanachama wa shirika la Kitwek wa Perth, Magharibi Australia hivi karibuni, walijumuika katika hafla maalum iliyo andaliwa na viongozi wa shirika hilo.
-
Jinsi yakujilinda dhidi ya wizi wa utambulisho nchini Australia
19/04/2023 Duration: 14minUhalifu wa utambulisho ni tisho kubwa nchini Australia, ambako kuna ongezeko ya idadi ya watu wanao endelea kuwa waathiriwa wa uhalifu wa utambulisho kila mwaka.
-
Taarifa ya Habari 18 Aprili 2023
18/04/2023 Duration: 18minWaziri wa National Disability Insurance Scheme almaarufu NDIS, ametoa hotuba katika klabu ya waandishi wa habari wa taifa, kuelezea umuhimu wakufanya mageuzi katika mfumo huo.
-
Victor "tuna mipango maalum kwa vijana wa Kitwek"
18/04/2023 Duration: 06minNi jambo la kawaida kwa jamii nyingi kuanzisha shirika, linalo wawakilisha nakutoa huduma wanazo hitaji nje ya huduma zinazo tolewa na mashirika makubwa.
-
Taarifa ya Habari 16 Aprili 2023
16/04/2023 Duration: 18minSauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, itasaidia jamii zawa Australia wa kwanza kuishi maisha kikamilifu seneta wa Labor wa Wilaya ya Kaskazini aeleza vyombo vya habari.
-
Taarifa ya Habari 11 Aprili 2023
11/04/2023 Duration: 18minKaimu Waziri Mkuu Penny Wong, na waziri wa biashara Don Farrell, wame thibitisha kuwa serikali ya shirikisho imefikia maafikiano na Beijing, kwa suluhu ya mgogoro wakibiashara wa shayiri.
-
Vikomo vya ongezeko ya kodi ya nyumba vyatupiliwa mbali NSW, wakati kodi zikiendelea kuongezeka Australia
11/04/2023 Duration: 06minWapangaji jimboni New South Wales hawata hisi maramoja afueni yoyote, kutoka ongezeko ya kodi baada ya kiongozi wa jimbo hilo Chris Minns kutupilia mbali kikomo kwa ongezeko za kodi.
-
Taarifa ya Habari 9 Aprili 2023
09/04/2023 Duration: 18minMaelfu ya watu wameadhimisha ibada ya Pasaka, ndani ya makanisa kote nchini. Waumini wana adhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo, kulingana na maandishi ya Biblia takatifu.
-
Ps Ngugi "Siku hizi watu wamekosa muda wakushiriki katika ibada"
09/04/2023 Duration: 10minNyumba nyingi za ibada kote duniani hufurika wakati wa pasaka, hali ambayo ni tofuati na wakati mwingine wa mwaka.
-
Umepata faini? Hivi ndivyo unastahili fanya kuilipa na kuepuka madhara makubwa yakutofuata sheria
09/04/2023 Duration: 10minWatu wengi nchini Australia hawa elewi madhara yakupuuza faini ni gani.
-
Taarifa ya Habari 4 Aprili 2023
04/04/2023 Duration: 19minMaafisa wa ngazi za juu wa Australia wamekutana na washiriki wao kutoka China mjini Beijing, kujadili vikwazo vyaki biashara vinavyo endelea katika ishara mpya yakuboresha diplomasia.
-
Amedee bado tuna safari ndefu kisiasa barani Afrika
03/04/2023 Duration: 12minWakaazi wa New South Wales walishiriki katika uchaguzi ulio bandua serikali mamlakani.
-
Taarifa ya Habari 2 Aprili 2023
02/04/2023 Duration: 17minKiongozi wa Victoria amesema kushindwa kwa chama cha Liberal katika chaguzi dogo la Aston, kume onesha wapiga kura wanaendelea kutupilia mbali aina chafu ya siasa.
-
Albanese aunga mkono ongezeko ya mshahara kwa wafanyakazi wa pato la chini
02/04/2023 Duration: 08minSerikali ya shirikisho imependekeza wafanyakazi wenye pato la chini nchini Australia, waongezewe mshahara ila, serikali haija sisitiza kuwa ongezeko hilo la mshahara liwe sambamba na mfumuko wa bei.
-
George "Kenya iko katika hatari yakutokomea"
29/03/2023 Duration: 11minJiji la Nairobi, Kenya kwa mara nyingine lime shuhudia mapambano makali kati ya jeshi la polisi na waandamanaji wanao taka serikali ishughulikie ongezeko la gharama ya maisha.
-
Taarifa ya Habari 28 Machi 2023
28/03/2023 Duration: 18minMazungumzo kati ya serikali ya shirikisho ya Labor na chama cha Greens, yanaendelea kuhusu muswada wa mfuko wa uwekezaji wa usoni wa nyumba nchini Australia. Chama cha Greens na wabunge wengine huru, wameomba muswada huo uimarishwe kwa uwekezaji wa ziada kwa nyumba zajamii nawapangaji.
-
Labor yashinda uchaguzi wa NSW, nakusitisha miaka 12 katika upinzani
28/03/2023 Duration: 08minLabor imekamilisha kinacho julikana kama ushindi thabiti wakisiasa katika bara zima la Australia, baada ya matokeo ya uchaguzi wa New South Wales.
-
What are Ramadan and Eid and how are they celebrated in Australia? - Ramadan na Eid ni nini na huwa zina adhimishwa aje nchini Australia?
27/03/2023 Duration: 10minHave you ever wondered about the significance of Ramadan and Eid in Islamic culture? And, how important are these celebrations to your Muslim colleagues, friends, or neighbours? - Je! ushawahi jiuliza umuhimu wa Ramadan na Eid ni nini katika utamaduni waki Islamu? Na sherehe hizi zina umuhimu gani kwa marafiki, majirani na watu unao fanyakazi nao ambao niwa Islamu?